1
Mwanzo 4:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ukitenda vyema hautakubaliwa? Na usipotenda vyema, basi, zambi inajificha kwa mulango; inakutamani, lakini unapaswa kuishinda.”
ႏွိုင္းယွဥ္
Mwanzo 4:7ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Mwanzo 4:26
Seti naye akapata mutoto mwanaume, akamwita Enosi. Hapo ndipo watu walipoanza kumwomba Yawe kwa jina lake.
Mwanzo 4:26ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Mwanzo 4:9
Yawe akamwuliza Kaina: “Ndugu yako Abeli yuko wapi?” Kaina akamujibu: “Mimi sijui! Mimi ni mulinzi wa ndugu yangu?”
Mwanzo 4:9ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Mwanzo 4:10
Yawe akasema: “Umefanya nini? Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.
Mwanzo 4:10ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Mwanzo 4:15
Lakini Yawe akamujibu: “Hapana, sivyo! Atakayekuua wewe Kaina atalipizwa mara saba.” Basi, Yawe akamutia Kaina kitambulisho hata yeyote atakayemwona asimwue.
Mwanzo 4:15ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား