1
Luka MT. 23:34
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa maana hawajui watendalo. Wakagawanya nguo zake, wakipiga kura.
ႏွိုင္းယွဥ္
Luka MT. 23:34ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
2
Luka MT. 23:43
Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Peponi.
Luka MT. 23:43ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
3
Luka MT. 23:42
Akamwambia Yesu, Bwana, unikumbuke ujapo katika ufalme wako.
Luka MT. 23:42ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
4
Luka MT. 23:46
Yesu akalia kwa sauti kuu, akasema, Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu: na alipokwisha kusema haya akatoa roho.
Luka MT. 23:46ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
5
Luka MT. 23:33
Hatta walipofika pahali paitwapo Kichwa, ndiko walikomsulibisha, na wale wakhalifu, mmoja mkono wa kuume, na mmoja mkono wa kushoto.
Luka MT. 23:33ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
6
Luka MT. 23:44-45
Ikapata kama saa a sita, pakawa giza juu ya inchi yote hatta saa a tissa, jua likipunguka: pazia ya hekalu ikapasuka katikati.
Luka MT. 23:44-45ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
7
Luka MT. 23:47
Akida alipoona lililokuwa, akamtukuza Mungu, akisema, Kwa kweli mtu huyu alikuwa mwenye haki.
Luka MT. 23:47ရွာေဖြေလ့လာလိုက္ပါ။
ပင္မစာမ်က္ႏွာ
သမၼာက်မ္းစာ
အစီအစဥ္မ်ား
ဗီဒီယိုမ်ား