1
Yohane 4:24
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Mungu ni roho, na watu wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa Roho na ukweli.”
နှိုင်းယှဉ်
Yohane 4:24ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Yohane 4:23
Lakini wakati waja, tena umekwisha wasili, ambapo wenye kuabudu wa kweli watamwabudu Baba katika roho na ukweli. Maana Baba anawataka watu wanaomwabudu namna hiyo.
Yohane 4:23ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Yohane 4:14
Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uhai na kumpatia uhai wa milele.”
Yohane 4:14ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Yohane 4:10
Yesu akamjibu, “Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekuambia: ‘Nipatie maji ninywe,’ ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yenye uhai.”
Yohane 4:10ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Yohane 4:34
Yesu akawaambia, “Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.
Yohane 4:34ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Yohane 4:11
Huyo mama akasema, “Bwana, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yenye uhai?
Yohane 4:11ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Yohane 4:25-26
Huyo mama akamwambia, “Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu.” Yesu akamwambia, “Mimi ninayeongea nawe, ndiye.”
Yohane 4:25-26ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
8
Yohane 4:29
“Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?”
Yohane 4:29ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
ကျမ်းစာ
အစီအစဉ်
ဗီဒီယို