1
Luka 19:10
Biblia Habari Njema
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 19:10
2
Luka 19:38
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 19:38
3
Luka 19:9
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 19:9
4
Luka 19:5-6
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.” Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 19:5-6
5
Luka 19:8
Lakini Zakayo akasimama, akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyanganya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 19:8
6
Luka 19:39-40
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!” Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Luka 19:39-40
होम
बाइबल
योजनाहरू
भिडियोहरू