1
Luka 11:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Basi ikiwa ninyi munaokuwa waovu munajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, inaonyesha hakika kwamba Baba yenu anayekuwa mbinguni atawapa Roho Mutakatifu wale wanaomwomba kwake.”
Comparar
Explorar Luka 11:13
2
Luka 11:9
Nami ninawaambia: muombe nanyi mutapewa; mutafute nanyi mutapata; mupige hodi nanyi mutafunguliwa mulango.
Explorar Luka 11:9
3
Luka 11:10
Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.
Explorar Luka 11:10
4
Luka 11:2
Yesu akawaambia: “Munapoomba, museme: ‘Baba! Jina lako litukuzwe; Ufalme wako ukuje.
Explorar Luka 11:2
5
Luka 11:4
Utusamehe zambi zetu, maana sisi vilevile tunawasamehe wote wanaotukosea, usituache kuingia katika majaribu.’ ”
Explorar Luka 11:4
6
Luka 11:3
Utupe chakula chetu cha kila siku.
Explorar Luka 11:3
7
Luka 11:34
Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako likiwa zima, mwili wako wote utabaki katika mwangaza. Lakini kama jicho lako linaharibika, mwili wako vilevile utabaki katika giza.
Explorar Luka 11:34
8
Luka 11:33
“Hakuna mutu anayewakisha taa na kuificha au kuifunika na kitunga; lakini anaiweka juu ya kinara kusudi wanaoingia ndani wapate kuona mwangaza.
Explorar Luka 11:33
Início
Bíblia
Planos
Vídeos