1
1 Wathesalonike 3:12
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Bwana Isa na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 3:12
2
1 Wathesalonike 3:13
Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana wetu Isa pamoja na watakatifu wote.
Chunguza 1 Wathesalonike 3:13
3
1 Wathesalonike 3:7
Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu.
Chunguza 1 Wathesalonike 3:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video