1
1 Wathesalonike 4:17
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana Isa hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana Isa milele.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 4:17
2
1 Wathesalonike 4:16
Kwa maana Bwana Isa mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Al-Masihi watafufuka kwanza.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:16
3
1 Wathesalonike 4:3-4
Mapenzi ya Mungu ni ninyi mtakaswe, ili mjiepushe na uasherati, na kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima
Chunguza 1 Wathesalonike 4:3-4
4
1 Wathesalonike 4:14
Tunaamini kwamba Isa alikufa na kufufuka. Na kwa hivyo, tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja naye wale waliolala katika Isa.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:14
5
1 Wathesalonike 4:11
Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza
Chunguza 1 Wathesalonike 4:11
6
1 Wathesalonike 4:7
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:7
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video