1
2 Wathesalonike 1:11
Neno: Bibilia Takatifu
Kwa sababu hii, tunawaombea ninyi bila kukoma, ili Mungu apate kuwahesabu kuwa mnastahili wito wake na kwamba kwa uwezo wake apate kutimiza kila kusudi lenu jema na kila tendo linaloongozwa na imani yenu.
Linganisha
Chunguza 2 Wathesalonike 1:11
2
2 Wathesalonike 1:6-7
Mungu ni mwenye haki: yeye atawalipa mateso wale wawatesao ninyi na kuwapa ninyi mnaoteseka raha pamoja na sisi, wakati Bwana Yesu atakapodhihirishwa kutoka mbinguni katika mwali wa moto pamoja na malaika wake wenye nguvu.
Chunguza 2 Wathesalonike 1:6-7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video