1
Matendo 24:16
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu.
Linganisha
Chunguza Matendo 24:16
2
Matendo 24:25
Naye Paulo alipokuwa akinena kuhusu haki, kuwa na kiasi na kuhusu hukumu ijayo, Feliksi aliingiwa na hofu, akasema, “Hiyo yatosha sasa! Unaweza kuondoka. Nitakapokuwa na muda, nitakuita.”
Chunguza Matendo 24:25
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video