1
Waamuzi 21:25
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Katika siku hizo, Waisraeli hawakuwa na mfalme; kila mtu alifanya alivyoona ni vyema machoni pake.
Linganisha
Chunguza Waamuzi 21:25
2
Waamuzi 21:1
Wanaume wa Israeli walikuwa wameapa kiapo kule Mispa, wakasema: “Hapana mtu yeyote wetu atakayemwoza binti yake kwa Mbenyamini.”
Chunguza Waamuzi 21:1
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video