1
Ayubu 23:10
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Lakini anaijua njia niiendeayo; akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
Linganisha
Chunguza Ayubu 23:10
2
Ayubu 23:12
Sijaziacha amri zilizotoka mdomoni mwake; nimeyathamini maneno ya kinywa chake kuliko chakula changu cha kila siku.
Chunguza Ayubu 23:12
3
Ayubu 23:11
Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu; nimeishika njia yake bila kukengeuka.
Chunguza Ayubu 23:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video