1
Zaburi 20:7
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi, bali sisi tutalitumainia jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wetu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 20:7
2
Zaburi 20:4
Na akujalie haja ya moyo wako, na aifanikishe mipango yako yote.
Chunguza Zaburi 20:4
3
Zaburi 20:1
Mwenyezi Mungu na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
Chunguza Zaburi 20:1
4
Zaburi 20:5
Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda, tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu. Mwenyezi Mungu na akupe haja zako zote.
Chunguza Zaburi 20:5
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video