1
Zekaria 6:12
Neno: Bibilia Takatifu
Umwambie, hili ndilo asemalo BWANA Mwenye Nguvu Zote: ‘Huyu ndiye mtu ambaye jina lake ni Tawi, naye atachipua kutoka mahali pake na kujenga Hekalu la BWANA.
Linganisha
Chunguza Zekaria 6:12
2
Zekaria 6:13
Ni yeye atakayejenga Hekalu la BWANA, naye atavikwa utukufu na ataketi kumiliki katika kiti cha enzi naye atakuwa kuhani katika kiti chake cha enzi. Hapo patakuwa amani kati ya hao wawili.’
Chunguza Zekaria 6:13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video