1
2 Fal 3:17
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa kuwa BWANA asema hivi, Hamutauona upepo, wala hamtaiona mvua, ila bonde hilo litajaa maji; nanyi mtakunywa, ninyi, na ng’ombe zenu, na wanyama wenu.
Linganisha
Chunguza 2 Fal 3:17
2
2 Fal 3:15
Ila sasa niletee mpiga kinanda. Ikawa, mpiga kinanda alipokipiga, mkono wa BWANA ukamjia juu yake.
Chunguza 2 Fal 3:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video