1
2 Sam 3:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Basi kulikuwa na vita siku nyingi kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi; Daudi akaendelea akasitawi, lakini nyumba ya Sauli ikaendelea kudhoofika.
Linganisha
Chunguza 2 Sam 3:1
2
2 Sam 3:18
basi, sasa, fanyeni hayo; kwa maana BWANA amemtaja Daudi, akisema, kwa mkono wa mtumishi wangu, Daudi, nitawaokoa watu wangu Israeli katika mikono ya Wafilisti, na katika mikono ya adui zao wote.
Chunguza 2 Sam 3:18
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video