1
Mhu 7:9
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Linganisha
Chunguza Mhu 7:9
2
Mhu 7:14
Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lo lote litakalofuata baada yake.
Chunguza Mhu 7:14
3
Mhu 7:8
Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.
Chunguza Mhu 7:8
4
Mhu 7:20
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Chunguza Mhu 7:20
5
Mhu 7:12
Kwa maana hekima ni ulinzi, kama vile fedha ilivyo ulinzi; na ubora wa maarifa ni ya kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.
Chunguza Mhu 7:12
6
Mhu 7:1
Heri sifa njema kuliko marhamu nzuri; Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.
Chunguza Mhu 7:1
7
Mhu 7:5
Heri kusikia laumu ya wenye hekima, Kuliko mtu kusikia wimbo wa wapumbavu
Chunguza Mhu 7:5
8
Mhu 7:2
Heri kuiendea nyumba ya matanga, Kuliko kuiendea nyumba ya karamu. Kwa maana huo ndio mwisho wa wanadamu wote, naye aliye hai atautia moyoni mwake.
Chunguza Mhu 7:2
9
Mhu 7:4
Moyo wake mwenye hekima umo nyumbani mwa matanga, bali moyo wake mpumbavu umo nyumbani mwa furaha.
Chunguza Mhu 7:4
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video