1
Ebr 7:25
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Naye, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai sikuzote ili awaombee.
Linganisha
Chunguza Ebr 7:25
2
Ebr 7:26
Maana ilitupasa sisi tuwe na kuhani mkuu wa namna hii aliye mtakatifu, asiyekuwa na uovu, asiyekuwa na waa lo lote, aliyetengwa na wakosaji, aliyekuwa juu kuliko mbingu
Chunguza Ebr 7:26
3
Ebr 7:27
ambaye hana haja kila siku, mfano wa wale makuhani wakuu wengine, kwanza kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za hao watu; maana yeye alifanya hivi mara moja, alipojitoa nafsi yake.
Chunguza Ebr 7:27
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video