1
Yer 30:17
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema BWANA, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, ambao hapana mtu autakaye.
Linganisha
Chunguza Yer 30:17
2
Yer 30:19
Tena kwao itasikiwa shukrani, na sauti yao wachangamkao; nami nitawazidisha, wala hawatakuwa wachache; tena nitawatukuza, wala hawatakuwa wanyonge.
Chunguza Yer 30:19
3
Yer 30:22
Nanyi mtakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu.
Chunguza Yer 30:22
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video