1
Mk 15:34
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Linganisha
Chunguza Mk 15:34
2
Mk 15:39
Basi yule akida, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Chunguza Mk 15:39
3
Mk 15:38
Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hata chini.
Chunguza Mk 15:38
4
Mk 15:37
Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Chunguza Mk 15:37
5
Mk 15:33
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hata saa tisa.
Chunguza Mk 15:33
6
Mk 15:15
Pilato akipenda kuwaridhisha makutano, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulibiwe.
Chunguza Mk 15:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video