1
Neh 3:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Ndipo akaondoka Eliashibu, kuhani mkuu, pamoja na nduguze makuhani, wakalijenga lango la kondoo; wakazitia boriti zake, wakaisimamisha milango yake; mpaka mnara wa Hamea wakalitakasa, mpaka mnara wa Hananeli.
Linganisha
Chunguza Neh 3:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video