1
Neh 4:14
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nikatazama, nikaondoka, nikawaambia wakuu, na mashehe, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, na wana wenu, na binti zenu, na wake zenu, na nyumba zenu.
Linganisha
Chunguza Neh 4:14
2
Neh 4:6
Basi tukaujenga ukuta; nao ukuta wote ukaungamanishwa kiasi cha nusu ya kimo chake; maana watu walikuwa na moyo wa kufanya kazi.
Chunguza Neh 4:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video