1
Zab 130:5
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.
Linganisha
Chunguza Zab 130:5
2
Zab 130:4
Lakini kwako kuna msamaha, Ili Wewe uogopwe.
Chunguza Zab 130:4
3
Zab 130:6
Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.
Chunguza Zab 130:6
4
Zab 130:2
Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.
Chunguza Zab 130:2
5
Zab 130:1
Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.
Chunguza Zab 130:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video