1
Zab 52:8
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Bali mimi ni kama mzeituni Umeao katika nyumba ya Mungu. Nazitumainia fadhili za Mungu milele na milele.
Linganisha
Chunguza Zab 52:8
2
Zab 52:9
Nitakushukuru milele kwa maana umetenda; Nitalingojea jina lako kwa kuwa ni jema; Mbele ya wacha Mungu wako.
Chunguza Zab 52:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video