1
Zab 53:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
Linganisha
Chunguza Zab 53:1
2
Zab 53:2
Toka mbinguni MUNGU aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.
Chunguza Zab 53:2
3
Zab 53:3
Kila mtu amepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.
Chunguza Zab 53:3
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video