1
Sef 1:18
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.
Linganisha
Chunguza Sef 1:18
2
Sef 1:14
Hiyo siku ya BWANA iliyo kuu i karibu; I karibu, nayo inafanya haraka sana; Naam, sauti ya siku ya BWANA; Shujaa hulia kwa uchungu mwingi huko!
Chunguza Sef 1:14
3
Sef 1:7
Nyamaza kimya mbele za Bwana MUNGU; Kwa maana siku ya BWANA i karibu; Kwa kuwa BWANA ameweka tayari dhabihu, Amewatakasa wageni wake.
Chunguza Sef 1:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video