1
1 Wathesalonike 1:2-3
Swahili Revised Union Version
Twamshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu nyote, tukiwataja katika maombi yetu. Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na subira yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 1:2-3
2
1 Wathesalonike 1:6
Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha kulipokea neno katika dhiki nyingi, pamoja na furaha ya Roho Mtakatifu.
Chunguza 1 Wathesalonike 1:6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video