1
1 Wathesalonike 4:17
Swahili Revised Union Version
Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 4:17
2
1 Wathesalonike 4:16
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:16
3
1 Wathesalonike 4:3-4
Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati; kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima
Chunguza 1 Wathesalonike 4:3-4
4
1 Wathesalonike 4:14
Maana, ikiwa tunaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:14
5
1 Wathesalonike 4:11
Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenu wenyewe, kama tulivyowaagiza
Chunguza 1 Wathesalonike 4:11
6
1 Wathesalonike 4:7
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video