1
2 Wakorintho 3:17
Swahili Revised Union Version
Basi “Bwana” ndiye Roho; lakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
Linganisha
Chunguza 2 Wakorintho 3:17
2
2 Wakorintho 3:18
Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo, tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.
Chunguza 2 Wakorintho 3:18
3
2 Wakorintho 3:16
Lakini wakati wowote watakapomgeukia Bwana, ule utaji huondolewa.
Chunguza 2 Wakorintho 3:16
4
2 Wakorintho 3:5-6
Si kwamba tunatosha sisi wenyewe kufikiri kuwa neno lolote ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu unatoka kwa Mungu. Naye ndiye aliyetutosheleza kuwa wahudumu wa agano jipya; si wa andiko, bali wa roho; kwa maana andiko huua, bali roho huhuisha.
Chunguza 2 Wakorintho 3:5-6
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video