1
Matendo 24:16
Swahili Revised Union Version
Nami ninajizoeza katika neno hili niwe na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu siku zote.
Linganisha
Chunguza Matendo 24:16
2
Matendo 24:25
Na Paulo alipokuwa akitoa hoja zake kuhusu haki, na kuwa na kiasi, na hukumu itakayokuja, Feliki akaingiwa na hofu na kusema, Sasa nenda zako, nami nikipata nafasi nitakuita.
Chunguza Matendo 24:25
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video