1
Kutoka 25:8-9
Swahili Revised Union Version
Nao na wanifanyie patakatifu; ili nipate kukaa kati yao. Sawasawa na haya yote nikuoneshayo, mfano wa maskani, na mfano wa samani zake zote, ndivyo mtakavyovifanya.
Linganisha
Chunguza Kutoka 25:8-9
2
Kutoka 25:2
Waambie wana wa Israeli kwamba wanitwalie sadaka; kila mtu ambaye moyo wake wampa kupenda mtatwaa kwake sadaka yangu.
Chunguza Kutoka 25:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video