1
Kutoka 38:1
Swahili Revised Union Version
Kisha akafanya hiyo madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, ya mti wa mshita urefu wake ulikuwa dhiraa tano, na upana wake ulikuwa dhiraa tano, ilikuwa mraba; na kwenda juu kwake kulikuwa dhiraa tatu.
Linganisha
Chunguza Kutoka 38:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video