1
Mambo ya Walawi 17:11
Swahili Revised Union Version
Kwa kuwa uhai wa mwili uko katika hiyo damu; nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa sababu ya nafsi.
Linganisha
Chunguza Mambo ya Walawi 17:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video