1
Mambo ya Walawi 18:22
Swahili Revised Union Version
Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
Linganisha
Chunguza Mambo ya Walawi 18:22
2
Mambo ya Walawi 18:23
Wala usilale na mnyama yeyote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni upotovu.
Chunguza Mambo ya Walawi 18:23
3
Mambo ya Walawi 18:21
Usimtoe kafara mzawa wako yeyote kwa Moleki na ulinajisi jina la Mungu wako; mimi ndimi BWANA.
Chunguza Mambo ya Walawi 18:21
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video