1
Luka 2:11
Swahili Revised Union Version
maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.
Linganisha
Chunguza Luka 2:11
2
Luka 2:10
Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote
Chunguza Luka 2:10
3
Luka 2:14
Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.
Chunguza Luka 2:14
4
Luka 2:52
Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Chunguza Luka 2:52
5
Luka 2:12
Na hii ndiyo ishara kwenu; mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelala katika hori ya kulia ng'ombe.
Chunguza Luka 2:12
6
Luka 2:8-9
Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, utukufu wa Bwana ukawang'aria pande zote, wakaingiwa na hofu kuu.
Chunguza Luka 2:8-9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video