1
Mithali 8:35
Swahili Revised Union Version
Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.
Linganisha
Chunguza Mithali 8:35
2
Mithali 8:13
Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
Chunguza Mithali 8:13
3
Mithali 8:10-11
Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi. Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.
Chunguza Mithali 8:10-11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video