1
Zaburi 79:9
Swahili Revised Union Version
Ee Mungu wa wokovu wetu, utusaidie, Kwa ajili ya utukufu wa jina lako. Utuokoe, utusamehe dhambi zetu, Kwa ajili ya jina lako.
Linganisha
Chunguza Zaburi 79:9
2
Zaburi 79:13
Na sisi tulio watu wako, Na kondoo za malisho yako, Tutakushukuru milele; Tutazisimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.
Chunguza Zaburi 79:13
3
Zaburi 79:8
Usikumbuke juu yetu maovu ya baba zetu, Rehema zako zije kutulaki haraka, Kwa maana tumeteseka sana.
Chunguza Zaburi 79:8
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video