1
Zaburi 85:2
Swahili Revised Union Version
Umeusamehe uovu wa watu wako, Umezisitiri hatia zao zote.
Linganisha
Chunguza Zaburi 85:2
2
Zaburi 85:10
Fadhili na kweli zitakutana, Haki na amani zitakumbatiana.
Chunguza Zaburi 85:10
3
Zaburi 85:9
Hakika wokovu wake uko karibu na wamchao, Ndipo utukufu wake ukae katika nchi yetu.
Chunguza Zaburi 85:9
4
Zaburi 85:13
Haki itakwenda mbele zake, Na kuzitayarishia hatua zake mapito.
Chunguza Zaburi 85:13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video