1
Zekaria 3:4
Swahili Revised Union Version
Naye malaika akajibu, akawaambia wale waliosimama mbele yake, akisema, Mvueni nguo hizi chafu. Kisha akamwambia yeye, Tazama, nimekuondolea uovu wako, nami nitakuvika mavazi ya thamani kubwa.
Linganisha
Chunguza Zekaria 3:4
2
Zekaria 3:7
BWANA wa majeshi asema hivi, Ikiwa utaenda katika njia zangu, na kushika maagizo yangu, basi utaihukumu nyumba yangu, na kuzilinda nyua zangu, nami nitakupa haki ya kunikaribia kati yao wasimamao karibu.
Chunguza Zekaria 3:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video