1
Hesabu 6:24-26
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
‘Mwenyezi-Mungu awabariki na kuwalinda; Mwenyezi-Mungu awaangalie kwa wema, na kuwafadhili; Mwenyezi-Mungu awaoneshe wema wake na kuwapa amani.’
Linganisha
Chunguza Hesabu 6:24-26
2
Hesabu 6:27
“Ndivyo watakavyotamka jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”
Chunguza Hesabu 6:27
3
Hesabu 6:23
“Mwambie Aroni na wanawe kwamba hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli: Mtawaambia
Chunguza Hesabu 6:23
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video