1
Yohana 17:17
Swahili Roehl Bible 1937
Watakase, wawe wa kweli! Neno lako ndilo la kweli.
Linganisha
Chunguza Yohana 17:17
2
Yohana 17:3
Nao huu ndio uzima wa kale na kale, wakutambue wewe, kwamba ndiwe peke yako Mungu wa kweli, tena wamtambue yule, uliyemtuma, kwamba ndiye Yesu Kristo.
Chunguza Yohana 17:3
3
Yohana 17:20-21
Lakini si hawa tu, ninaowaombea, ila nawaombea hata wale watakaonitegemea wakilisikia neno lao. Wote wapate kuwa mmoja, kama ulivyomo mwangu, wewe Baba, nami nilivyomo mwako! Wapate kuwamo mwetu nao hao, ulimwengu upate kunitegemea, ya kuwa wewe umenituma.
Chunguza Yohana 17:20-21
4
Yohana 17:15
Siombi, uwaondoe ulimwenguni, ila naomba, uwalinde, yule Mbaya asiwajie.
Chunguza Yohana 17:15
5
Yohana 17:22-23
Nami nimewapa utukufu, ulionipa wewe, wapate kuwa mmoja, kama sisi tulivyo mmoja. Mimi niwemo mwao, nawe wewe uwemo mwangu, wawe watu waliomaliza kuwa mmoja, nao ulimwengu utambue, ya kuwa wewe umenituma, kisha umewapenda, kama ulivyonipenda mimi.
Chunguza Yohana 17:22-23
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video