1
Matendo 13:2-3
Biblia Habari Njema
Walipokuwa wanafanya ibada yao kwa Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema: “Niteulieni Barnaba na Saulo kwa ajili ya kazi niliyowaitia.” Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
Linganisha
Chunguza Matendo 13:2-3
2
Matendo 13:39
na ya kwamba kila mmoja anayemwamini Yesu anasamehewa dhambi zote, jambo ambalo halingewezekana kwa njia ya sheria.
Chunguza Matendo 13:39
3
Matendo 13:47
Maana Bwana alituagiza hivi: ‘Nimekuweka wewe uwe mwanga kwa watu wa mataifa, ili uwaletee watu wokovu pote ulimwenguni.’”
Chunguza Matendo 13:47
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video