1
Yohana 8:12
Neno: Bibilia Takatifu
Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni nuru ya ulimwengu. Mtu yeyote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.”
Linganisha
Chunguza Yohana 8:12
2
Yohana 8:32
Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”
Chunguza Yohana 8:32
3
Yohana 8:31
Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.
Chunguza Yohana 8:31
4
Yohana 8:36
Hivyo Mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli.
Chunguza Yohana 8:36
5
Yohana 8:7
Walipoendelea kumuulizauliza akainuka, akawaambia, “Kama kuna mtu yeyote miongoni mwenu ambaye hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe.”
Chunguza Yohana 8:7
6
Yohana 8:34
Yesu akajibu, “Amin, amin nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi.
Chunguza Yohana 8:34
7
Yohana 8:10-11
Yesu akainuka na kumwambia, “Wako wapi wale waliokuwa wanakuhukumu kuwa mwenye hatia?” Yule mwanamke akajibu, “Hakuna hata mmoja Bwana.” Yesu akamwambia, “Hata mimi sikuhukumu. Nenda zako, kuanzia sasa usitende dhambi tena.”]
Chunguza Yohana 8:10-11
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video