1
2 Samueli 23:3-4
Biblia Habari Njema
Mungu wa Israeli amesema, Mwamba wa Israeli ameniambia, ‘Mtu anapowatawala watu kwa haki, atawalaye kwa kumcha Mungu, yeye ni kama mwanga wa asubuhi, jua linapochomoza asubuhi isiyo na mawingu; naam, kama mvua inayootesha majani ardhini’.
Linganisha
Chunguza 2 Samueli 23:3-4
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video