1
Zaburi 55:22
Biblia Habari Njema
Mwachie Mwenyezi-Mungu mzigo wako, naye atakutegemeza; kamwe hamwachi mwadilifu ashindwe.
Linganisha
Chunguza Zaburi 55:22
2
Zaburi 55:17
Jioni, asubuhi na adhuhuri, nalalama na kulia, naye ataisikia sauti yangu.
Chunguza Zaburi 55:17
3
Zaburi 55:23
Wewe, ee Mungu, utawaporomosha shimoni chini kabisa, watu hao wauaji na wadanganyifu; hao hawatafikia nusu ya maisha yao. Lakini mimi nitakutumainia wewe ee Mungu!
Chunguza Zaburi 55:23
4
Zaburi 55:16
Lakini mimi namlilia Mungu, naye Mwenyezi-Mungu ataniokoa.
Chunguza Zaburi 55:16
5
Zaburi 55:18
Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.
Chunguza Zaburi 55:18
6
Zaburi 55:1
Ee Mungu, tega sikio usikie sala yangu; usiangalie pembeni ninapokuomba.
Chunguza Zaburi 55:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video