1 Nyakati 10:13-14
1 Nyakati 10:13-14 NEN
Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa BWANA. Hakulishika neno la BWANA, hata akataka shauri kwa mwaguzi kwa ajili ya uongozi, hakumuuliza BWANA. Kwa hiyo BWANA alimuua, na ufalme akampa Daudi mwana wa Yese.