Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Nyakati 28:20

1 Nyakati 28:20 NEN

Daudi pia akamwambia Solomoni mwanawe, “Uwe hodari na moyo mkuu, ukafanye kazi hii. Usiogope wala usifadhaike, kwa maana BWANA aliye Mungu, Mungu wangu yu pamoja nawe. Hatakuacha wala hatakupungukia mpaka kazi hii yote kwa ajili ya utumishi wa Hekalu la BWANA itakapokamilika.