Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 12:17-19

1 Wakorintho 12:17-19 NEN

Kama mwili wote ungelikuwa jicho, kusikia kungekuwa wapi? Au kama mwili wote ungelikuwa sikio, kunusa kungekuwa wapi? Lakini kama ilivyo, Mungu ameweka viungo katika mwili, kila kimoja kama alivyopenda. Kama vyote vingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 12:17-19