Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 15:11

1 Samweli 15:11 NENO

“Ninasikitika kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata mimi na hakutimiza maagizo yangu.” Samweli akafadhaika, naye akamlilia Mwenyezi Mungu usiku ule wote.