1 Samweli 15:23
1 Samweli 15:23 NENO
Kwa maana kuasi ni kama dhambi ya uaguzi, nao ukaidi ni kama uovu wa kuabudu sanamu. Kwa sababu umelikataa neno la Mwenyezi Mungu, naye amekukataa wewe kuendelea kuwa mfalme.”
Kwa maana kuasi ni kama dhambi ya uaguzi, nao ukaidi ni kama uovu wa kuabudu sanamu. Kwa sababu umelikataa neno la Mwenyezi Mungu, naye amekukataa wewe kuendelea kuwa mfalme.”