Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 2:13-14

Wakolosai 2:13-14 NEN

Mlipokuwa wafu katika dhambi zenu na kutokutahiriwa katika asili yenu ya dhambi, Mungu aliwafanya mwe hai pamoja na Kristo. Alitusamehe dhambi zetu zote, akiisha kuifuta ile hati yenye mashtaka yaliyokuwa yanatukabili, pamoja na maagizo yake. Aliiondoa isiwepo tena, akiigongomea kwenye msalaba wake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 2:13-14